UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

Wednesday, April 18, 2018

Rais Erdoğan azungumza na kansela wa Ujerumani

Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan azungumza kwa njia  ya  simu na knasela wa Ujerumani Bi Angela Merkel kuhusu masula tofauti ya kikanda.

Katika mazungumzo yao viongozi hao wamezungumza pia kuhusu ushirikiano baina ya Uturuki na Ujerumani. Vile vile wamezungumzia kuhusu  mzozo wa Syria na kuafikiana kuwa  ardhi ya Syria ni huru.

Viongozi hao waliendelea  wakizungumza kuhusu mashambulizi ya anga yaliendeshwa na Marekani kwa  ushirikiano na Uingereza na Ufaransa  Syria.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment