UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

Saturday, March 31, 2018

Ngorongoro heroes hali tete thidi ya Timu ya DR Congo baada ya kutoka sare


Timu ya taifa ya Tanzania iliyo na umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) imelazimishwa sare tasa ya bila kufungana dhidi ya DR Congo kwenye mchezo wa kwanza wa kufuzu kutafuta tiketi ya kushiriki mashindano ya AFCON (U20).
Vijana wa Ngorongoro Heroes sasa watalazimika kutoka na ushindi walau wa bao 1 – 0 dhidi ya DR Congo ambao watakuwa nchini kwao Congo kwenye mchezo wa marudiano wiki chache zijazo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment