Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Thursday, March 22, 2018

Hii ndio Ratiba ya makundi ya Ligi ya Mabingwa CAF





Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) usiku wa kuamkia leo imetoa ratiba ya makundi Ligi ya Mabingwa Ritz Carlton, jijini Cairo, Misri.

KIUNGO mshambuliaji Mtanzania anayecheza soka la kulipwa Klabu ya Difaa El Jadida ya nchini Morocco, Simon Msuva wameangukia katika kundi B pamoja na timu za TP Mazembe, E.S. Setifienne, na Mouloudia Club.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment