Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Saturday, March 24, 2018

Fahamu utofauti uliyopo kati Virusi vya UKIMWI na UKIMWI wenyewe


Habari za muda huu mdau wa Muungwana blog, naomba nisipoteze muda kwa kusema mambo yasiyokuwa na maana bali niende moja kwa moja kati mada yetu ya leo.

Virusi vya UKIMWI kwa kifupi vinaitwa VVU. Virusi vya UKIMWI ni virusi vinavyoleta upungufu wa kinga mwilini ( UKIMWI ). UKIMWI kwa upande mwingine ni ugonjwa ambao  pale dalili zake zinapoanza kuonekana wazi.

Tofauti kati ya VVU na UKIMWI ni kwamba mtu mwenye virusi vya UKIMWI, bado anaweza kuwa mtu mwenye kuonekana na afya nzuri.Virusi vipo katika damu yake, lakini, havijaanza kuzishambulia chembechembe nyeupe.

Kwa upande mwingine, mtu mwenye UKIMWI tayari mwili wake ni umepungua kinga na unashambuliwa na magonjwa mbalimbali na tayari ameanza kuugua ugonjwa huu.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment