Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, July 20, 2017

Majeshi ya Cameroon tuhumani

Ramani ya Cameroon

Haki miliki ya pichaATLAS
Image captionRamani ya Cameroon
Ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la Haki za Binadamu la Amnesty International limedai kwamba majeshi ya Ulinzi ya Cameroon yamewatesa na kuwaua watuhumiwa kadhaa wanachama wa kundi lenye siasa kali la Boko Haramu.
Ripoti hiyo imesema miongoni mwa wanaoshikiliwa ni wanawake na watoto.
Shirika hilo la Haki za Binadamu limesema limetoa ushahidi wa madai ya uhalifu wa kivita kwa serikali ya Cameroon, lakini halikupata majibu yoyote.
Eneo la kaskazini mwa Cameroon na mataifa ya jirani kwa miaka kadhaa limekuwa likiharibiwa na mapigano yanayoendelea kati ya majeshi ya usalama na wapiganaji wa Boko Haramu.
BBC
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment