Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, July 23, 2017

MAELFU WALIVYOFURIKA KATIKA MKUTANO WA RAIS DK. MAGUFULI WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA, JANA


Maelfu ya wananchi wa Kasulu Mjini waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyeweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Kasulu yenye urefu wa kilometa 63. Barabara hii inajengwa na Serikali ya Tanzania kwa gharama ya Shilingi Bilioni 66.331 na itakamilika ifikapo Septemba 2018
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment