Writen by
sadataley
2:25 PM
-
0
Comments
Maelfu ya wananchi wa Kasulu Mjini waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyeweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Kasulu yenye urefu wa kilometa 63. Barabara hii inajengwa na Serikali ya Tanzania kwa gharama ya Shilingi Bilioni 66.331 na itakamilika ifikapo Septemba 2018
No comments
Post a Comment