Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, July 18, 2017

IGP Sirro afanya mabadiliko Polisi

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni pamoja na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga.

Hayo yamewekwa wazi na taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi kupitia kwa msemaji wake ACP Barnabus D. Mwakalukwa .

Mabadiliko hayo, yanamgusa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Suzan Salome Kaganda sasa amekuwa Mkuu wa Kitengo cha Mafao na Fidia Makao Makuu ya Polisi na nafasi yake imechukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Murilo Jumanne ambaye alikuwa Kamanda Polisi Mkoa wa Shinyanga.

Mabadiliko mengine soma hapa

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment