Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, July 27, 2017

Hatma ya Lissu kujulikana Leo.


MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, itaamua Dhamana ya Rais wa Chama Cha Wanasheria nhini (TLS) Tundu Lissu.

Uamuzi huo unatokana na Pingamizi la Dhamana liliwasilishwa Mahakamani hapo Juzi na Jopo la Mawakikli wa Serikali.

Mawakili wa Serikali waliibua  Mahakamani hapo hoja ya kuzuiliwa kwa dhamana ya Lissu kutokana na kushtakiwa na makosa ya uchochezi zaidi ya nne Mahakamani.

Jopo la Mawakili wa Utetezi  lipinga hoja hizo  kwa kudai kwamba Dhamana ni haki ya Mshtakiwa na kwamba Mashtaka ya Lissu yanadhaminika.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment