Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 19, 2017

Conte aongeza miaka miwili Chelsea

Antonio Conte

Meneja wa klabu ya Chelsea, Antonio Conte amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuwanoa mabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya England.

Conte katika msimu wake wa kwanza ameisadia Chelsea kutwaa ubingwa wa England kwa kushinda michezo 30,na kucheza fainali ya michuano ya kombe la Fa licha ya kufungwa na Arsenal katika fainali.

Baada ya kusaini mkataba huo mpya Conte alisema " nina furaha sana kwa kusaini mkataba huu mpya,"

Nae mkurugenzi wa klabu hiyo Marina Granovskaia, aliongeza kwa kusema "mafanikio makubwa waliyopata, pamoja na uhodari wa kocha huyo ndio kimewapa imani ya kumuongezea Conte mkataba mpya".
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment