Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, July 14, 2017

Brigedia Jenerali mwingine wa JWTZ alivyoagwa leo

Brigedia Jenerali mstaafu Dominic Mrope amewataka Wanajeshi kuwa na nidhamu, utii, uhodari pamoja na uzalendo kwa kuwa kazi hiyo inatakiwa kufanywa kwa ajili ya uzalendo.
Brigedia Jenerali Mrope alikuwa Mkuu wa Kamandi ya Vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya JWTZ ambapo amesema uzalendo ni kitu kikubwa ambacho ni kama dini ya Jeshi hasa kujitoa maisha katika kipindi chote cha uhai kwa kuwa hata yeye alijitoa katika kipindi cha takribani miaka 38.
“Nawaasa wadumishe utii na uzalendo…mafunzo ya kijeshi yahanitaji ukakamavu, afya na utimamu kwani bila hivyo huwezi kufanya mafunzo yoyote.” – Brigedia Jenerali mstaafu Dominic Mrope.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment