Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, April 7, 2017

SPIKA AKUTANA NA MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE NA UJUMBE WAKE MJINI DODOMA

Z

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Mama Diana Mwakasege, Mke wa Mwalimu Christopher Mwakasege walipofika kumtembeela ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
Z 1
Mwalimu Christopher Mwakasege akifanya maombi kwa ajili ya Spika wa Bunge na Bunge kwa ujumla wakati alipomtembelea Spika ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
Z 2
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akizungumza na Mwalimu Christopher Mwakasege na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment