Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, March 30, 2017

Dkt Mwakyembe akabidhi rasmi Ofisi kwa Prof. Paramagamba Kabudi


par1
Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Taarifa Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi katika makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Makao Makuu ya Wizara yaliyoko Chuo Kikuu cha Dodoma mjini Dodoma.
par2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe aliyesimama akizungumza katika hafla ya kukabidhi Ofisi kwa Waziri Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi (aliyekaa kulia kwake) na kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Katiba na ufuatiliaji Haki Wizarani Bw. Patience Ntwina.
par3
 Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju (aliesimama) akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi katika ya  Waziri Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi (kushoto kwake) na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe aliekaa kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizarani Bw. Aloyce Mwogofu.
par4par5
 Baadhi ya watumishi wa Wizara wakishuhudia makabidhiano hayo ya ofisi yalipofanyika Wizarani kati ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe na  Waziri Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi
par7
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha wageni
par8
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akizungumza mara baada ya kukabidhi ofisi
Habari na

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment