Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, February 23, 2017

Wanawake waruhusiwa kuvaa hijabu jeshini.

Jeshi la Uturuki limetoa ruhusa kwa wanawake wote wanaotaka kuvaa hijabu jeshini.
Mwaka 2013 chama cha AK kilipiga marufuku uvaaji wa hijab kwa wale wanawake wote waliokuwa wanatumikia jeshi la Uturuki.
Sare za jeshi zimeruhusu wanawake kuvaa hijab ndani ya kofia ya wanajeshi.
Uamuzi huu umefurahisha raia wengi Uturuki.
Hata hivyo Uturuki ni kati ya nchi zinazounga mkono waislamu.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment