Writen by
sadataley
8:55 AM
-
0
Comments
Mchekeshaji wa Uganda, Anne Kansiime amekanusha taarifa zilizoenea mtandaoni kuwa amekamatwa na dawa za kulevya London, Uingereza.
Habari hizi zilidai kuwa amekamatwa na kilo 2 za dawa aina ya cocaine.
No comments
Post a Comment