Writen by
sadataley
11:55 AM
-
0
Comments
Shirika la Amnesty International limemshutumu Rais wa Marekani Donald
Trump na viongozi wengine nchini Uturuki, Hungary na Ufilipino.
Katika ripoti yake ya kila mwaka, Amnesty inaelezea mwaka 2016, kama mwaka wa matamshi yaliyojaa chuki huku hofu ikapanda zaidi na kufikia kiwango ambacho hakijawahi kufikia tangu miaka ya 1930, wakati Adolf Hitler, alipoingia uongozini nchini Ujerumani.
Inasema mataifa mbalimbali duniani yanaendesha ajenda potovu ambayo inawahujumu wakimbizi ambao wanashutumiwa kwa makosa ambayo hawakutenda huku pia wakidhulumiwa kijumla.
BBC
No comments
Post a Comment