Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, February 20, 2015

WAZIRI CHIKAWE ATUA NCHINI MAREKANI KUSHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUPAMBANA NA VURUGU NA UGAIDI DUNIANI .

mula1Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akikaribishwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula wakati Waziri huyo alipowasili ubalozini hapo jijini Washington DC kujiandaa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
mula2Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) akimsalimia Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jijini New York, nchini Marekani, Tuvako Manongi wakati Waziri huyo alipowasili ubalozi wa Tanzania nchini humo uliopo katika Jiji la Washington DC kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
mula3Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula (katikati) akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (watatu kulia) Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini humo wakati Waziri huyo alipowasili ofisini hapo, jijini Washington DC kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
mula4Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wanne kulia) akizungumza na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya Waziri huyo kuwasili ubalozini hapo jijini Washington DC kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
mula5Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati), Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula (kushoto) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jijini New York, nchini humo, Tuvako Manongi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumpokea Waziri huyo aliyewasili jijini Washington DC kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment