Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, February 15, 2015

Liverpool yafuzu robo fainali ya FA

   
Danniel Sturidge akifunga bao lake
Mabingwa mara saba Liverpool walitoka nyuma na kuishinda Crystal Palace na kufuzu katika robo fainali ya kombe la FA.
Fraizer Campbell alikuwa ameiweka kifua mbele Crystal Palace baada ya kichwa cha Dwight Gayle kupanguliwa na kipa wa Liverpool Simon Mignolet.
Lakini Danniel Sturridge alisawazisha baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Jordan Henderson.
Adam Lallana alifunga bao la ushindi kutoka pasi iliopigwa na Mario Balotelli.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment