Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, November 4, 2014

Rais Poroshenko apinga uchaguzi

   
Petro Poroshenko
Rais Petro Poroshenko wa Ukraine amesema kuwa hatambui uchaguzi unaoendelea katika baadhi ya maeneo ya Mashariki mwa nchi hiyo na kwamba kwa hatua hiyo wanarudisha nyuma jitihada za kuleta amani nchini humo.
Katika hotuba yake iliyoonyehswa kwenye Runinga pia Poroshenko amesema kuwa serikali yake haitatambua upigaji kura huo katuika majimbo ya Donetsk and Luhansk.
Hata hivyo amesema kuwa hali ya machafuko katika mashariki mwa taifa hilo kumesababisha kuvunjika kwa hali ya amani na kuleta vurugu.
Poroshenko amesema kuwa anataraji kupendekeza sheria itakayopiga marufuku waasi kuanzisha katika eneo ambalo limepitishwa na kuwa eneo lenye harakati za kutaka kuleta amani.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment