Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, November 3, 2014

IGP MSTAAFU ASHEREHEKEA MIAKA 85 YA KUZALIWA KWAKE


 Mara Baada ya Ibada katika Kanisa la Azania Front wakati wa  kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya
Baadhi ya waumini mbalimbali wakiwa nje baada ya Ibada(Martha Magessa)
 Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Mstaafu Philemoni Mgaya akiwa katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
 Keki.
Waziri  Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya akimpongeza aliyekuwa IGP Philemoni Mgaya.

 
 Mzee Timothy Msangi akieleza Historia fupi ya IGP Mstaafu Philemoni Msangi

 Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheli Tanzania (KKKT) Alex Malasusa akitoa salam za Pongezi kwa IGP mstaafu
 Mshauri wa kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited James Rugemalira akitoa pongezi zake kwa IGP Mstaafu na kuelezea  Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited

 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Benedicta Rugemalira akitoa salam za Pongezi kwa IGP mstaafu

Mshereheshaji Joe Mgaya ambaye ni Mtoto wa IGP Mstaafu Philemoni Mgaya akisherehesha

 
 Waziri wa Habari na Utangazaji Fenera Mukangara  akimpa mkono wa Pongezi IGP mstaafu
 
 
 Wakiwa katika Furaha
IGP Mstaafu akipokea zawadi


IGP Mstaafu Philemoni Mgaya akikata keki huku amezungukwa na wajukuu wake
 
 
 
 
 
 
 
 Watu mbalimbali wakiwa katika Sherehe hiyo
 
 
 
 Burudani ya nguvu
 Habari na picha kwa hisani ya Mjengwa blog
 
 
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment