Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, November 8, 2014

COSATU yaitoa NUMSA

    Mgomo wa wanacahama wa NUMSA mwaka jana
Jumuia ya wafanyakazi wa Afrika Kusini, COSATU, imekitoa katika jumuia chama cha wachimba migodi, NUMSA - chama kikubwa kabisa na chenye malalamiko mengi ya kisiasa katika jumuia hiyo.
COSATU imchukua hatua hiyo baada ya NUMSA kulalamika dhidi ya Rais Jacob Zuma, na kukataa kuunga mkono chama tawala cha ANC katika uchaguzi wa awali mwaka huu.
NUMSA ilimshutumu Rais Zuma kwamba haungi mkono tena masilahi ya wafanyakazi na kusema kuwa itaanzisha vuguvugu jipya la kishosalisti.
Kiongozi wa NUMSA, Irvin Jim, alisema kuwa COSATU - ambayo zamani ikiwatikisa mabosi wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi - sasa imepooza.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment