Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Tuesday, October 21, 2014

Wastani wa Joto wapanda:Utafiti

   
Hali ya hewa
Watalaam wa hali ya hewa wa marekani wamesema wastani wa joto la dunia la mwezi uliopita lilikuwa la kiwango cha juu kabisa tangu kuanza kwa ufuatiliaji huo.
Wafuatiliaji wa masuala ya hali ya hewa wamesema iwapo joto litasalia hivyo kwa kipindi cha mwaka kilichobaki basi mwaka 2014 utakuwa umeweka rekodi ya namna yake.
Huko Bonn katika ufunguzi wa mazungumzo yanayohusu hali ya hewa, Mkuu wa Kitengo cha hali ya hewa Christiana Figueres amewaambia washiriki kuwa kuna umuhimu wa kuunganisha nguvu iwapo wanataka kupambana na uchafuzi wa hali ya hewa unaoweza kusababisha ongezeko la joto duniani.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment