Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, October 30, 2014

ukistaajabu ya Musa?

   
waliobahatika kuwa shule ndo hao, wengine huanza shule ya awali wakiwa na miaka 11.
Wakati harakati mbali mbali za kupinga ndoa namimba za utotoni zikiendelea na hasa katika nchi za Africa,baadhi ya nchi barani humo zinakabilia na changamoto hii kupita kiwango.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni ,Kesi ya kwanza na ya namna yake imeedeshwa na kutolewa hukumu huko nchini I vory Coast baada ya mwanamume mmoja kuamua kumuoa binti yake wa miaka 11.
Kutokana na kitendo cha mwanamume huyo kumua binti yake alihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na faini ya dola za kimarekani mia saba.
Mwendesha mashtaka Rosine Kone amesema kwamba kesi hiyo ya aina yake itatuma ujumbe mzito kwa raia wa nchi hiyo ili waeme na tamaa zao.
Nao umoja wa mataifa unasema kwamba ndoa za utotoni nchini Ivory Coast si la kushangaza ni kawaida yao,kwani mmoja kati ya mabinti watatu huolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka kumi na nane.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment