Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, October 24, 2014

Nigeria inachunguza utekaji mpya

   
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan
Boko Haram
Serikali nchini Nigeria inasema inachunguza taarifa ya idadi kubwa ya wanawake na wasichana waliotekwa nyara na wanamgambo wa Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo, pamoja na kwamba tangazo la kusitisha mapigano lililotolewa na majeshi ya serikali.
Msemaji wa Serikali ya Nigeria Mike Omeri, ameiambia BBC kuwa serikali ya Nigeria inajaribu kuthibitisha kile kilichotokea. Mwanakijiji mmoja anasema wanawake na wasichana arobaini wametekwa na kundi hilo.
Makubaliano ya kusitisha mapigano yalitangazwa wiki iliyopita, lakini mashambulizi yanaendelea na mpaka sasa haijajulikana kama wasichana wa Chibok zaidi ya mia mbili waliotekwa na kundi la Boko Haram miezi sita iliyopita wataachiwa huru kama serikali ya Nigeria ilivyosema.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment