Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, July 21, 2014

Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji


Timu ya taifa ya Tanzania "Taifa Stars"
Tanzania ikiwa katika uwanja wake wa nyumbani Taifa Stars imeshindwa kutamba mbele ya majirani zao kutoka kusini Msumbiji baada ya kulazimishwa sare ya bao 2 - 2 katika kuania kucheza michuano kombe la Mataifa ya Afrika.
Wakati Tanzania ikitoka sare na Msumbiji majirani zao Kenya wakiwa Huko Lesotho, wameshindwa kutamba na hivyo wakaambulia kupigwa bao 1 - 0.
Nchi ya Afrika mashariki iliyofurukuta ni Uganda iliyokwamisha 2 - 0 dhidi ya Mauritania.
Huko Benin, Malawi imepigwa bao 1 - 0
Bila shaka Wacongo wamekesha wakicheza muziki baada ya kuwavumishia majirani zao Rwanda kwa bao 2 - 0
Sierra Leone nao wakawabamiza ushelisheli bao 2 - 0.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment