Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 19, 2014

Obama:Wanamgambo ndio walioangusha ndege


Rais Barrack Obama

Rais Barrack Obama amesema kuwa ushahidi unaonyesha kwamba ndege ya Malaysia Airline iliokuwa ikisafiri kutoka Amstaderm kuelekea Kuala Lumpur ilitunguliwa na kombora lililorushwa kutoka eneo linalodhibitiwa na waasi wanaounga mkono Urusi.
Rais Obama amesema kuwa kitendo hicho kinatia hasira na kwamba waasi hao wamekuwa wakipokea usaidizi kutoka kwa Urusi ikiwemo makombora ya kuangusha ndege.
Obama ametaka usitishwaji wa vita nchini Ukraine ili kutoa fursa ya shirika huru la kimataifa kuchunguza kilichojiri.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment