Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 19, 2014

FIFA yaondoa marufuku ya Nigeria

Rais wa FIFA Sepp Blatter

Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.
Shirikisho hilo lilikuwa limeipiga marufuku Nigeria kutoshiriki katika michuano yoyote ya soka mapema mwezi huu kwa kuwa serikali ya Nigeria iliingilia uongozi wa shirikisho hilo nchini Nigeria.
Hatua hiyo ya kuondoa marufuku hiyo inajiri baada ya mahakama kuondoa agizo la kuwatoa baadhi ya maafisa wakuu wa shirikisho hilo nchini Nigeria.
Kwa miongo kadhaa serikali za afrika zimekuwa na ushawishi wa mashirikisho ya soka katika mataifa yao hadi FIFA ilipoondoa uwezo huo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment