Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Saturday, April 26, 2014

HONGERA TANZANIA KWA KUTIMIZA MIAKA 50 YA MUUNGANO

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, wanatoa hongera kwa Watanzania wote kwa kuadhiumisha kwa kishindo miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, leo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment