Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, August 14, 2013

Viongozi wa dini watakiwa kutokujihusisha na siasa

Igunga. Mkuu wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, Elibariki Kingu, amewaasa viongozi wa dini kutokujihusisha na masuala ya siasa, badala yake wajenge misingi ya kiroho kwa waumini.
Akizungumza kwenye tamasha la uzinduzi wa albamu ya nyimbo za Injili ya Anna Nzogi, Kingu alisema baadhi ya viongozi wa dini wamekuwa wakijihusisha na siasa na kuacha kumtumikia Mungu, hali ambayo inaleta vurugu.
Kingu alisema baadhi ya wananchi wamekuwa wakitumia fedha nyingi kufanya mambo yasiyompendeza Mungu, badala ya kuwekeza kwa shughuli mbalimbali za maendeleo na kutoa sadaka na kwamba, watumie uwezo wa Mungu aliowajalia. 
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment