Writen by
sadataley
10:11 AM
-
0
Comments
Mbunge Msigwa na mkuu wa wilaya ya Iringa wakitazama ndizi aina ya Jamaica inayolimwa Mtwivila Iringa iliyoletwa katika maonyesho ya serikali za mitaa leo Mjini Iringa
![]() |
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini akiwasili jukwaa kuu na kusalimiana na mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba |
![]() |
Hapa Mbunge Msigwa akisalimiana na Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa Gervas Ndaki |
![]() |
Mtaalam kutoka AMREF Bi Stellah akitoa maelezo kuhusu huduma zinazotolewa na AMREF |
![]() |
Mhandisi wa Manispaa ya Iringa Mashaka Luhamba akitoa maelezo ya idara ya ujenzi inavyofanya kazi katika Manispaa ya Iringa ambao kwa sasa wamepiga hatua katika ukarabati wa barabara za mitaa |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba akimtazama kwa makini askari wa kikosi cha zimamoto mjini Iringa akionyesha jinsi ya kuzima moto |
No comments
Post a Comment