Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Saturday, June 22, 2013

SASA NI KATIKA JUBILEE YA KKKT  -MAKUMIRA  ARUSHA 
KARIBU  SANA
                            Mtoto Brown Lee toka iringa tayari kushiriki Jubilii hii
hapa ndipo katika Ukumbi ulioboreshwa vizuri kwa ajili ya Jubilii hii

Mchungaji Stephane Homstom Katibu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Sweeden

                                            Askofu na Mchungaji toka Marekani
Wageni toka Ulaya na marekani




   

Baadhi ya wawezeshaji wakwanza Mchg. Dr. Paslaw, Pofesa Bahendwa na Mchg. Dr. Kimondo toka Chuo Kikuu Iringa

Makatibu Wakuu ni Bw. Naymna Chavalla Iringa na   Barozi Maliki toka Mashariki na Pwani
Askofu Mkuu Mstaafu Dr. Mushemba akiwa katika Jubilii hii hivi sasa

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment