Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Saturday, June 22, 2013

MATUKIO YA JUBILII KANISA KATIKA PICHA MARA BAADA YA KUMALIZIKA KWA SEHEMU YA KWANZA  KWA ASUBUHI HII
Profesa Festo Bahendwa akiwa na baadhi ya Maaskofu Wastaafu wakitoka nje

Mkuu KKKT  akiwa na Askofu Mstaafu Baba Askofu Kweka

Mwandishi Mwandamizi wa CCT Mchg. Kamoyo akiwa na Mwandishi wa Gazeti la Upengo Miss Manka

Askofu Reinard Mtenji akiwa na Katibu wa Berlin Mision Mchg. Dr. Reinhard Kees


Naibu Katibu Mkuu Mipando na Maendeleo KKKT akiwa na Mchg. Kivambala ambaye ni mmoja wa Wanafunzi toka Dayosisi ya Iringa 

Katibu Mkuu wa Lutheran World Federation akiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Sweden
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment