Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, December 28, 2013

Brotherhood wachoma moto vyuo vikuu

Kundi la Muslim Brotherhood kilichopigwa marufuku nchini Misri wamechoma moto majengo ya vyuo vikuu viwili katika mji mkuu wa Cairo.
Wanafunzi walikuwa wakiwapiga polisi katika eneo la Chuo Kikuu cha al-Azhar , mjini Cairo.
Watu watatu waanarifiwa kufa siku ya ijumaa wakati polisi walipokuwa wakipambana na wafuasi wa Muslim Brotherhood katika eneo la Minya ya Kusini na Nile Delta.
Mamlaka nchini Misri imekuwa ikiwasaka kundi la Muslim Brotherhood tangu mwezi julai, wakati aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi ambaye ni mfuasi wa kundi hilo alipoondolewa madarakani na jeshi la nchi hiyo.
Tayari kundi hilo limeshatangazwa kuwa ni kundi la kigaidi tangu jumatano.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment