Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, August 1, 2013

KAMATI YA BUNGE YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA YAANZA KUPOKEA MAONI KUTOKA KWA WADAU MBALIMBALI


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala Mh. Pindi Chana akiwa na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mh. Wiliam Ngereja wakiendesha kikao tayari kuanza kupokea maoni toka kwa wadau mbalimbali. Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dar es Saalam

Wadau mbalimbali toka Taasisi zisizo za Kiserikali wakiwa katika kikao hicho
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment