Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 29, 2017

Kilichojiri Kesi ya Wabunge 8 Waliovuliwa uanachama CUF

Leo July 28, 2017 Mahakama Kuu ya Tanzania imepanga kusikiliza kesi ya Wabunge 8 wa Chama cha Wananchi CUF ambao wamevuliwa Uanachama na Mwenyekiti wa Chama hicho Prof. Ibrahim Lipumba kuwa ni August 2, 2017.

Kwa mujibu wa Wakili wa Wabunge hao, Peter Kibataka kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Lugano Mwandambo.

Katika kesi hiyo maombi yatakayosikilizwa ni zuio la Utekelezaji wa mchakato wa kuwaapisha Wabunge wanane Wateule wa Viti Maalum wa CUF pamoja na kuzuia utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza Kuu la CUF.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment