Writen by
sadataley
12:15 PM
-
0
Comments
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MRADI WA MAJI SAFI NA SALAMA ZANZIBAR, LEO
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akifungua kitambaa kuzindua mradi wa maji safi na salama katika shehia
ya Chumbuni mjini Zanzibar wakati wa uzinduzi huo uliofanyika leo jioni
ikiwa ni katika shamrashamra za maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifungua Bomba kuashiria kuzindua mradi wa maji safi na salama
katika shehia ya Chumbuni mjini Zanzibar leo, ikiwa ni katika
shamrashamra za maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.
No comments
Post a Comment