Writen by
sadataley
9:38 AM
-
0
Comments
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mh. Angela Kairuki akiwa katikati mstari wa mbele kabisa akiongozana na Barozi wa Vietnam aliyemaliza muda wake wa kazi nchini Barozi Nguyen Duy Thien kulia
Barozi Nguyen Duy Thien akiwa na mkewe katkati hafla ya kumuaga iliyoandaliwa na Ofisi ya Ubarozi wa Vietnam hapa nchini.
Na hapa ni Naibu Waziri Mh. Angela Kairuki akiwakabidhi zawadi ya picha ya Mji Mkongwe wa Zanzibar kama kumbukumbu yao ya kuwepo hapa Tanzania.
Barozi Nguyen Duy Thien akiwa na mkewe katkati hafla ya kumuaga iliyoandaliwa na Ofisi ya Ubarozi wa Vietnam hapa nchini.
Na hapa ni Naibu Waziri Mh. Angela Kairuki akiwakabidhi zawadi ya picha ya Mji Mkongwe wa Zanzibar kama kumbukumbu yao ya kuwepo hapa Tanzania.
Jiunge na Blog ya Issa Michuzi
No comments
Post a Comment