Jeshi la Polisi Temeke jijini Dar es Salaam limeanzisha msako wa wahalifu nyumba kwa nyumba katika Mitaa Mbalimbali ya Temeke
Jeshi hilo likishirikiana na Kamati za Ulinzi za Serikali za Mitaa limeanza kutekeleza Operesheni hiyo ili kumaliza uhalifu.
No comments:
Post a Comment