Saturday, April 21, 2018

Rais Magufuli afanya mazungumzo na Kamishina wa AU

Rais Dk John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishina wa amani na usalama wa kamisheni ya Umoja wa Afrika, Balozi Smail Chergui ambaye amewasilisha ujumbe wa Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo Moussa Faki


No comments:

Post a Comment