Sunday, June 1, 2014

SHANGWE ZA GK NI PROSPER NA JOSEPHINE MWAKITALIMA

Hakika ilipendeza na maharusi pia walipendeza sana. Ndugu jamaa na marafiki kutoka jijini Dar es salaam na sehemu nyingine mikoani walijumuika katika kuwapongeza maharusi hao.

Nasi GK tunawapongeza maharusi hawa na kuwatakia heri na baraka na ulinzi wa Mungu uwe juu yao na wakaishi maisha marefu yenye mfano wa kuigwa na watu wote. Mbarikiwe


Mchungaji Huruma Nkone wa VCCT akiwafungisha ndoa maharusi.
Wakisikiliza kwa makini. 
Mchungaji Nkone akisisitiza jambo.
Furaha ya kipekee


Akianguka ushahidi mwanawane, wote wakishuhudia. kwa habari zaidi ingiahttp://www.gospelkitaa.co.tz/

No comments:

Post a Comment