Sunday, February 9, 2014

Mwanzilishi wa Kitengo cha Mawasiliano na Taarifa ( Information Ministry) wa Kanisa la Ufufuo na Uzima aoa.

 Ni Mchungaji Fredrick Fussi na mkewe Catherine  katika harusi iliyofungwa kanisa la Ufufuo na Uzima Kawe jijini Dar es salaam ambako maharusi ndiko wanakoabudu huku Fredrick akiwa ndio mwanzilishi wa kitengo cha mawasiliano na taarifa ama Information Ministry ya Kanisa hilo. Sherehe kubwa ya kuwapongeza maharusi ilifanyika katika ukumbi wa Flamingo uliopo Mbezi beach na kuhudhuriwa na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki 



Maombi kwa maharusi yakiongozwa na mchungaji Gwajima
Maharusi furaha tele.

Mmeonaaa pete zetuuu?













habari kwa hisani ya Gospel Kitaa

No comments:

Post a Comment