Wednesday, February 19, 2014

Baraza la Umoja wa Makanisa (WCC) lafanya mazumngumzo ya ushirikiano na wawakilishi wa Kanisa Katoliki. Katika mazungumzo hayo wamekubaliana kuwa na mikutano ya mara kwa mara kila mwaka kati ya wafanyakazi wa Vatican na la Umoja wa Makanisa Duniani (WCC).

Catholic group welcomed at the WCC
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Makanisa (WCC)  na  Wawakilishi  wa Kanisa Katoliki Duniani.
 

No comments:

Post a Comment