Sunday, January 5, 2014

WAZIRI MKUU PINDA ATUA IRINGA ,KUELEKEA KIJIJINI KWA WAZIRI DR MGIMWA SASA

Waziri  mkuu  Mizengo Pinda akisalimkiana na mwenyekiti  wa CCM mkoa  wa  Iringa Jesca Msambatavangu leo katika uwanja wa ndege Nduli Iringa
Pinda akisalimiana na viongozi  leo sasa msafara wake unaelekea kijijini Kwa Mgimwa Magunga
HABARI NA PICHA KWA HISANI YA 
http://www.matukiodaima.com/

No comments:

Post a Comment