Taifa hilo la kiarabu lenye utajiri wa mafuta limekuwa likisaidia upande wa upinzani tangu kuanza kwa machafuko ya nchini Syria mnamo mwezi March 2011 huku serikali ya Saudi ikitoa wito wa kuangushwa kwa utawala wa Assad.
Naibu waziri wa mambo ya kigeni wa syria Faisal Muqdad ameiambia AFP kuwa Saudi Arabia imeendelea kuyasaidia makundi ya kigaidi nchini Syria wakati huu ambao mataifa mengine yamekuwa yakipitia upya nafasi zao kuhusu mzozo wa Syria.
Naibu waziri wa mambo ya kigeni wa syria Faisal Muqdad ameiambia AFP kuwa Saudi Arabia imeendelea kuyasaidia makundi ya kigaidi nchini Syria wakati huu ambao mataifa mengine yamekuwa yakipitia upya nafasi zao kuhusu mzozo wa Syria.

No comments:
Post a Comment