Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch pia limeweka shinikizo kwa mamlaka nchini Syria, likiishutumu serikali kwa kusababisha maafa kutokana na mashambulizi ya anga kwenye mji wa Aleppo.
Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) na Shirika la Msalaba Mwekundu la nchini Lebanon wamesindikiza mabaki ya mwili wa Khan kutoka Syria hadi Lebanon kwa msafara wa magari matatu.
Katika juhudi za kidiplomasia , mjumbe wa amani Lakhdar Brahimi amefanya mazungumzo na waziri wa mambo ya kigeni wa Iran, baada ya wasuluhishi kushindwa kukubaliana kuhusu umuhimu wa Tehran kwenye mkutano wa amani.
Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) na Shirika la Msalaba Mwekundu la nchini Lebanon wamesindikiza mabaki ya mwili wa Khan kutoka Syria hadi Lebanon kwa msafara wa magari matatu.
Katika juhudi za kidiplomasia , mjumbe wa amani Lakhdar Brahimi amefanya mazungumzo na waziri wa mambo ya kigeni wa Iran, baada ya wasuluhishi kushindwa kukubaliana kuhusu umuhimu wa Tehran kwenye mkutano wa amani.

No comments:
Post a Comment