Kikosi hicho kikitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kilikuwa cha kwanza kikiwa na askari takribani elfu 6 walioidhinishwa na Baraza la Usalama kuimarisha usalama huko sudan kusini.
Umoja wa Mataifa ulitahadharisha hatari iliyopo huku bado idadi kubwa ya miili ambayo haikuweza kukusanywa imeonekana katika kambi za umoja wa mataifa.
Hapo jana duru ziliarifu kuwa Waasi wanaomuunga mkono aliyekuwa Makamu wa rais wa Sudan Kusini Salva Kiir wanajiandaa kukabaliana na vikosi vya serikali katika jimbo la Unity lenya utajiri wa Mafuta.
Haya yanafanyika kipindi hiki viongozi wa nchi wanacaham wa IGAD wakikutana jijini Nairobi nchini Kenya kujaribu kupata suluhu kuhusu hali ya usalama na kisiasa nchini Sudan Kusini.
Umoja wa Mataifa ulitahadharisha hatari iliyopo huku bado idadi kubwa ya miili ambayo haikuweza kukusanywa imeonekana katika kambi za umoja wa mataifa.
Hapo jana duru ziliarifu kuwa Waasi wanaomuunga mkono aliyekuwa Makamu wa rais wa Sudan Kusini Salva Kiir wanajiandaa kukabaliana na vikosi vya serikali katika jimbo la Unity lenya utajiri wa Mafuta.
Haya yanafanyika kipindi hiki viongozi wa nchi wanacaham wa IGAD wakikutana jijini Nairobi nchini Kenya kujaribu kupata suluhu kuhusu hali ya usalama na kisiasa nchini Sudan Kusini.

No comments:
Post a Comment