
Msimamizi aliiambia kamati ya bunge kwamba sanamu za viongozi kama Winston Churchill na Margaret Thatcher zinaharibika kwa sababu ya itikadi hiyo.
Ilani itawekwa, lakini mwenyekiti wa kamati amesema pengine vitawekwa vizuizi iwapo wabunge hawawezi kutuliza mikono yao.
Imewekwa na Happy Adam
No comments:
Post a Comment