
Rouhani ambaye alikuwa mpatanishi kwenye mazungumzo ya mradi wa nuklia wa Iran, alishinda uchaguzi wa urais nchini Iran katika duru ya kwanza.
Wakati wa kampeni zake rais huyo mteule aliahidi kuleta mabadiliko ya kijamii na kiuchumi, na alisema ataimarisha uhusiano kati ya taifa hilo na jamii ya kimataifa ambao uliharibika zaidi wakati wa utawala wa Rais Mahmoud Ahmedinejad.
Imewekwa na Happy Adam
No comments:
Post a Comment