Monday, August 19, 2013

Mjadala juu ya madawa ya kulevya Tanzania.

Waziri wa uchukuzi wa Tanzania Dr. Harisson Mwakyembe.
Waziri wa uchukuzi wa Tanzania Dr. Harisson Mwakyembe.
Katika mjadala wetu tunazungumzia suala la tatizo la biashara haramu ya madawa ya kulevya nchini Tanzania kwa mujibu wa takwimu mbali mbali ni kwamba watanzania wapatao 240 baadhi yao wakiwa wasanii wameshakamatwa katika nchi mbali mbali duniani wakiwa na madawa haya yenye thamani ya mabilioni ya shilingi.

Tadhali changia kwa kuweka maoni yako katika post

No comments:

Post a Comment