Monday, July 29, 2013

WANAFUNZI WA SHULE YA LUTHERAN JUNIOR SEMINARI MOROGORO WAANDAMANA HADI KWA ASKOFU WAKIMTAKA KUMUONDOA MKUU WA SHULE

 
Picha ya Kanisa lililopo hapo shuleni

Sehemu ya wanafunzi wakiwa na bango lenye moja ya ujumbe wakati katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) asubuhi ya leo

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Junior Seminari wakiwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wakimsikiliza Askofu wa Kanisa hilo, Jacob Mameo Ole Paulo (hayupo pichani) mara baada ya jumla ya wanafunzi 600 wa kidato cha kwan
za hadi sita kufanya maandamano yaliyoanzia shuleni hadi ofisi za askofu yaliyoanza majira ya saa 12 asubuhi wakimtaka kumuondoa kazini mkuu wa shule hiyo kwa madai mbalimbali.

No comments:

Post a Comment