Tuesday, July 30, 2013

SHIRIKA LISILOKUWA LA KISERIKALI LA AGAPE LASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA KULELEA WATOTO HUKO KKKT DAYOSISI YA KUSINI


                  Mama Mchungaji akipanda mti kama ishara ya kuanza kwa ujenzi huo

Naam ni katika eneo la ujenzi tayari na huku Msaidizi wa Akofu Dr. George Fihavango akiongozi uwekaji wa jiwe la msingi

Baadhi ya Washiriki wa uzinduzi huo wa ujenzi

No comments:

Post a Comment